Wednesday, May 13, 2020

Je unataka kuyajua haya
Karibu ndugu msomaji wa blog hi Leo ningependa kueleza juu ya mambo yafuatayo ambayo watu Wana paswa kuyajua.    ( 1) kama unataka kuwaona viumbe vya ajabu basi tafuta tongotongo za paka mweusi  jipake usoni hakika utaona kila kisicho onekana katika hii dunia (2) kama unataka kumkamata chuma ulete chukua kipande Cha mkaa kiweke ndani ya kikapu chako Kisha tafuta na tunda la mzaituni vyote hivyo uviweke kwenye kitambaa cheusi hakika akija hatoweza ondoka

Tuesday, May 5, 2020

Kablu ya simba sport club imekana kujihusisha na uuzaji wa baroka
Klabu ya Simba fc imekana kujihusisha na uuzaji wa baroka baada ya watu kuwa tuhumu timu ya Simba kujihusisha na kuuza baroka. Uongozi wa Simba ume kataa madai yao kupitia ukurasa wao wa Instagram.
 napia viongozi wa Simba wameanza kuchukua hatua Kali dhidi ya wale wanao tumia nembo ya Simba sport club kinyume na sherian na pia uongozi wa Simba sport club umeahidi kuchukua hatuakali dhidi ya wale wanao tumia nembo ya Simba sport club kinyume na sheria
Fahamu njia rahisi ya kumuona mchawi

.          Fahamu njia rahisi ya kumuona mchawi live kama unataka kumuona mchawi  inabidi uchume majani ya kisamvu Kisha ukitwange mpaka yatoke maji yale maji yake una nawa usoni wakati wa usiku huku ukinuia baad ya kufanya hivyo basi kama utaenda sehemu ya njia panda hakika utawaona wachawi au kama watakuja nyumbani kwako utawaona.   Onyo utakapo waona usipige kelele na usitumie dawa hii kama auna kinga dhidi ya nguvu zao 

Wednesday, January 22, 2020

MSANII BABA LEVO AMCHARUKIA DAIMOND  PLATNUM
Msanii na maarufu kama baba levo na kwa sasa ni diwani wa Kata Ya mwanga kaskazini amefunguka kukerwa baadhi ya vitu vilivyo jitokeza mkoani kigoma katika show Ya kuazimisha miaka kumi ya DAIMOND.             Baba levo Alisema Daimond alifanya makosa mawili makubwa( 1) baadhi ya wasanii hawakupanda kwenye jukwaa hali hii ilipelekea watu kufanya Fujo jukwaani.  Na pili Daimond alijenga msikiti na madrasa pekee aliangalia upende wa uislamu pekee, ili bidi ajenge na kanisa.kuonesha usawa
YANGA FC LAZIME TUWAFUNGE SINGINDA UNITED LEO
  
                                  Timu ya Yanga imeahidi ushindi mashabiki wake dhidi ya SINGINDA United,  ni maneno  ya afisa uamasishaji wa Yanga Antinio nugaz  amesema Timu yetu Leo itapambana na kuhakikisha inapata matokeo chanya katika mechi ya Leo,Afisa huyo wa yanga anawaomba mashabiki wa Yanga wajitokeze kwa wingi kui sapoti timu yao, Akamaliza kwa kusema Daima Yanga mbele nyuma mwiko                    

Tuesday, January 21, 2020

MBWANA SAMATTA NDOTO ZIMETIMIA

   Mbwana samatta amesema ndoto zake zimetimia kauli hii alitoa hivi karibuni baada kusajiliwa katika Timu ya Aston villa inayo cheza ligi kuu ya uingereza.  Mbwana alitoa kauli hio kwenye akaunti yake instagram.    Na anawaomba watanzania kumuombea mema ili afanye vizuri katika klabu yake mpya ya Aston villa