Wednesday, January 22, 2020

YANGA FC LAZIME TUWAFUNGE SINGINDA UNITED LEO

  
                                  Timu ya Yanga imeahidi ushindi mashabiki wake dhidi ya SINGINDA United,  ni maneno  ya afisa uamasishaji wa Yanga Antinio nugaz  amesema Timu yetu Leo itapambana na kuhakikisha inapata matokeo chanya katika mechi ya Leo,Afisa huyo wa yanga anawaomba mashabiki wa Yanga wajitokeze kwa wingi kui sapoti timu yao, Akamaliza kwa kusema Daima Yanga mbele nyuma mwiko                    

0 comments: