Msanii na maarufu kama baba levo na kwa sasa ni diwani wa Kata Ya mwanga kaskazini amefunguka kukerwa baadhi ya vitu vilivyo jitokeza mkoani kigoma katika show Ya kuazimisha miaka kumi ya DAIMOND. Baba levo Alisema Daimond alifanya makosa mawili makubwa( 1) baadhi ya wasanii hawakupanda kwenye jukwaa hali hii ilipelekea watu kufanya Fujo jukwaani. Na pili Daimond alijenga msikiti na madrasa pekee aliangalia upende wa uislamu pekee, ili bidi ajenge na kanisa.kuonesha usawa
Wednesday, January 22, 2020
Timu ya Yanga imeahidi ushindi mashabiki wake dhidi ya SINGINDA United, ni maneno ya afisa uamasishaji wa Yanga Antinio nugaz amesema Timu yetu Leo itapambana na kuhakikisha inapata matokeo chanya katika mechi ya Leo,Afisa huyo wa yanga anawaomba mashabiki wa Yanga wajitokeze kwa wingi kui sapoti timu yao, Akamaliza kwa kusema Daima Yanga mbele nyuma mwiko